Few Tanzanian women own the land they farm, as customary laws trump their official rights
DAR ES SALAAM,
“Nilivunjika moyo kabisa, sikua na jinsi yoyote, niliacha tu. Nilijua hiyo ndiyo tamati ya maisha yangu,” aliiambia Thomson Reuters Foundation.
Sheria za kimila kwenye kijiji chake wilaya ya Mkuranga zinasema kwamba wanawake watapata ardhi kupitia kwa waume zao au ndugu wa kiume, na baada ya kifo cha mumewe undungu kati ya Mzava na shemeji zake uliishia hapo.
“Walikuwa wakali
Mama huyo wa watoto wawili amekuwa akitishiwa na shemeji zake. Wakimshutumu kusababisha kifo cha kaka
“Walichukua kila kitu,” alisema. “Hawakuniacha na chochote cha kulisha watoto wangu. Sikuweza kuzalisha chochote, wachilia mbali mbogamboga.”
Katiba inayopendekezwa ya
Mzava aliyeolewa kwa ndoa ya kimila, alipoteza karibu kila kitu kwa kuwa ndoa za aina hiyo huwa haziandikishwi ikiwa na maana kwamba ni nadra
Mkasa wake unaelezea masaibu yanayowakumba wanawake wengi vijijini, ambao licha ya kubeba dhamana kubwa ya majukumu ya kifamilia, hawapati chochote wanapopewa talaka au waume zao wanapofariki.
KUTAMBULIKA KWENYE NGAZI YA JUU
Huku sheria rasmi zikibainisha haki sawa kwa wanawake wa
Kukosekana kwa chombo cha usimamizi na ujinga uliokithiri husababisha, wanawake ambao ni zaidi ya nusu ya nguvu kazi kwenye kilimo, kushindwa kumiliki ardhi wanayotumia kulima.
Katiba mpya inayopendekezwa, iliyoidhinishwa na bunge wiki iliyopita, bila shaka, itakuwa sheria bila ya mabadiliko yoyote. Ilikabidhiwa rais wiki hii, atakayeitisha mchakato wa kuipigia kura. Kwa mujibu wa waziri mkuu
Ibara ya 22 ya katiba inayopendekezwa inasema, “kila mwanamke ana haki sawa kupata, kumiliki na kutumia ardhi kwa masharti yale yale
Wadadisi wa mambo ya kisheria wanatarajia kwamba kipengele cha katiba kinachotoa haki ya wanawake kumiliki ardhi kitabadili taswira ya mambo yalivyo kwa sasa, kwa kuwa itatoa nguvu kubwa zaidi kisheria zaidi ya sheria za kimila ambazo ni kandamizi na zenye ubaguzi na kwa sasa zina hadhi sawa mahakamani
“Ni muhimu kutambua haki za wanawake ili kuwalinda dhidi ya udhalimu wanaofanyiwa na mfumo dume.” Alisema Andrew Chenge, mwenyekiti wa kamati ya uandishi wa katiba.
Jamii ambayo ardhi yake haisimamiwi vizuri huwa hatarini kukumbwa na migogoro ya mara kwa mara. Chenge alisema. Sura maalum kwenye katiba mpya inayozungumzia maswala ya ardhi itasaidia kutatua migogoro, hasa kati ya wakulima na wafugaji, wengi wao wakiwa ni wanawake, alisema.
Wanaharakati wa haki za wanawake wanaimani kwamba sheria mpya itasaidia wakulima wanawake kula matunda ya kazi zao za kilimo.
“Katiba inayopendekezwa imeeleza vizuri neno ‘mtu’ kwa kuwa kwenye jumuiya nyingine watu wanaamini mtu ni mwanaume na si mwanamke,” alisema Anna Abdallah, mwanaharakati wa haki za wanawake na mjumbe wa bunge la katiba. “ Huu ndio usawa tuliokuwa tukipigania.”
Usu Mallya wa Mtandao wa jinsia Tanzania (TGNP) alisema usawa wa jinsia ni swala nyeti
“Tunauhakika kwamba sasa tunakatiba inayo toa haki kwa wanawake kupata, kumiliki kutumia na kuendeleza ardhi na kunufaika na maliasili,” alisema.
CHANGAMOTO ZA TABIA NCHI
Haki za wanawaki kumiliki ardhi zilinukuliwa rasmi kwenye sera ya taifa ya
Licha ya haya yote, wataalam wanasema wanawake wengi-hasa wakulima vijijini, wangali wananyanyaswa na kunyang’anywa haki hizo.
Baadhi
Yefred Mnyenzi wa Haki Ardhi alisema misingi mikuu ya kutambua haki za ardhi nchini
Kufuatia bashasha kuu ya shughuli za kibiashara kwenye ardhi ya kilimo, katiba ingaliweka mfumo wa kuzuia ardhi ya kilimo kuporwa kutoka kwa wakulima maskini wanaoihitaji kwa maisha
Kilimo kingali chanzo kikuu cha kipato kwa wanawake wengi vijijini ambao hawana fursa nyingi za kiuchumi. Hata hivyo, mada haya ya tabia nchi yanachangia kuwadidimiza.
Wakulima wengi wametambua umwagiliaji
Imehaririwa na Megan Rowling
Our Standards: The Thomson Reuters Trust Principles.
